• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara Kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Manyoni District Council
Manyoni District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri Ya Wilaya Ya Manyoni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • History
        • Orodha Viongozi
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
      • Mchoro wa Kiutawala
      • Picha Ya Taasisi
    • Idara/Vitengo
      • Utawala & Utumishi
        • Majukumu ya Idara
        • Legal Seatings on Council's level
        • Department Information
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi & Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Utawala wa Mazingira na Usafi
      • Ujenzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio Vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
      • Huduma Zetu
        • Afya
        • Elimu
        • Maji
        • Kilimo
        • Mifugo
        • Uvuvi
    • Kilimo cha Korosho
    • Msimu wa mashamba ya Korosho 2019/2020
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba Ya Picha
    • Matokeo ya Kidato cha Pili 2018

‘TUCHUKUE TAHADHARI JUU YA MAGONJWA YA MLIPUKO"

Imewekwa Mtandaoni mnamo: November 11th, 2023


Haya yamesemwa na Mkuu wa  Wilaya ya Manyoni Mhe. Kemirembe Lwota kwenye kikao cha Tathimini ya Mkataba wa Lishe kwa kipindi cha robo ya kwanza kwa mwaka wa fedha 2023/2024 kilichofanyika tarehe 10 Novemba 2023 katika Ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya Manyoni.


“Niwaombe sana kuchukua Tahadhari juu ya Ugonjwa wa Mlipuko wa Kipindupindu ulioripotiwa katika mkoa wetu wa Singida, Nawaaagiza watumish i wa Afya wa Halmshauri ya Wilaya ya Manyoni kutoa elimu ya kujikinga na ugonjwa huo wa mlipuko kwa kuzigatia kanuni na taratibu za afya ili kuepukana na ugonjwa huu”.

“Wananchi wepewe elimu juu ya kujenga vyoo  bora na matumizi sahihi ya vyoo hivyo, lakini pia kuwa na vifaa maalumu vya kunawa mikono vizuri kwa maji tiririka baada ya kutoka chooni hii itasaidia  sana kupunguza uwezekano wa jamii yetu kukumbwa na magonjwa ya mlipuko” Alisisitiza Mhe. Kemirembe.


Mhe. Kemirembe amesema  “Wananchi wazingatie usafi wa mazingira kwa ujumla katika maeneo yao wanaoishi na kuepuka kufanya shughuli zao za kijamii karibu na vyanzo vya maji kwani hili ndio tatizo kubwa litakalofanya jamii kupata magonjwa ya mlipuko kwani kufanya shughuli mbalimbali karibu na vyanzo vya maji huchafua vyanzo vya maji na kupelekea jamii kutumia maji yasiyo safi na salama”

Sambamba na Hilo Mkuu wa Wilaya ya Manyoni Mhe. Kemirembe Lwota Ameendelea kusisitiza suala la Lishe bora kwa jamii na kuhakikisha wanafunzi waliopo shule wanapata chakula mashuleni kwa kuwataka Watendaji wa kata kuhakikisha shule zote za sekondari na za msingi wanakuwa na eneo lao maalumu kwaajili ya kilimo ili kujipatia chakula chao.

“Pamoja na wazazi kuchangia chakula mashuleni watendaji wa kata hakikisheni shule zote za sekondari na za msingi wanakua na eneo lao walime vyakula ambavyo watavitumia wao wenyewe wawapo shuleni hii itasaidia sana na itapungza uhitaji mkubwa wa vyakula kutoka kwa wazazi”


“Mwisho niwaombe sana Twendeni tukatimize wajibu wetu kwa kuhakikisha tunawahudumi wananchi wetu vizuri, kwa kauli nzuri zitakazofanya waamini Serikali yao ya Awamu ya Sita chini ya Mama yeu Dkt Samia Suluhu Hassan inawapenda na kuwajali, Sitamvumilia Mtumishi atakaetoa huduma kwa wananchi kwa kauli na lugha chafu” Alisisitiza Mhe. Kemirembe.


Naye Ndg. Fadhili Chimsala kwa niaba ya Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Manyoni alisema “Niwashukuru wote mliohudhuri kikao hiki naamini kwa pamoja yote tuliyojadili tunakwenda kushirikina ili kufanikisha yote, Mimi na Timu yangu ya wataalamu wa Idara ya Afya na Watendaji wengine tunakwenda tunakwenda kuhakikisha tunatoa elimu kwa wananchi wetu vizuri juu ya masuala haya ya Afya ili jamii yetu ibaki kuwa salama wakati wote.

Imetolewa na; 

Kitengo cha Mawasilino Serikalini

Halmashauri ya Wikaya ya Manyoni.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI KWAAJILI YA SHUGHULI ZA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA September 15, 2024
  • TANGAZO LA UUZAJI WA MASHAMBA YA KOROSHO MWAKA 2022/2023 July 04, 2022
  • FOMU YA MAOMBI YA MASHAMBA YA KOROSHO MWAKA 2022/2023 July 04, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 12, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • KARIBUNI MJIPATIE VIWANJA KWA BEI NAFUU

    May 05, 2025
  • "KIKAO CHA PHC CHAFANYIKA"

    April 26, 2025
  • "Jimbo la Manyoni Mashariki kubadilishwa Jina"

    April 26, 2025
  • "UJUZI UTABADILISHA MAISHA YA WATANZANIA"

    March 23, 2025
  • Angalia zote

Video

Ngoma za asili Siku ya UKIMWI Duniani
video zingine

Kurasa za Karibu

  • About Manyoni
  • Completed Projects
  • Ongoing Projects
  • Primary Schools Students Registration (Prem)
  • Instagram

Tovuti Mashuhuri

  • TAMISEMI
  • President's Office, Public Service Management
  • Singida Region
  • Necta
  • MAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIA
  • Kupata Salary Slip

Fuatiliaji ya watembezi wa Kidunia

world map hits counter

Kihesabia Watembezi

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana nasi

    HALMASHAURI YA WILAYA MANYONI

    Sanduku la Posta: S.L.P 60 MANYONI

    Simu: +255 26 2540136

    Namba ya Simu: +255 26 2540136

    Barua Pepe za Watumishi: ded.manyonidc@singida.go.tz, ded@manyonidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera za Siri
    • Malalamiko
    • Maswali ya Mara Kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Haki Ya Kunakiri ©2019 Halmashauri Ya Wilaya Ya Manyoni . Haki Zote Zimehifadhiwa.