• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara Kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Manyoni District Council
Manyoni District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri Ya Wilaya Ya Manyoni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • History
        • Orodha Viongozi
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
      • Mchoro wa Kiutawala
      • Picha Ya Taasisi
    • Idara/Vitengo
      • Utawala & Utumishi
        • Majukumu ya Idara
        • Legal Seatings on Council's level
        • Department Information
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi & Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Utawala wa Mazingira na Usafi
      • Ujenzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio Vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
      • Huduma Zetu
        • Afya
        • Elimu
        • Maji
        • Kilimo
        • Mifugo
        • Uvuvi
    • Kilimo cha Korosho
    • Msimu wa mashamba ya Korosho 2019/2020
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba Ya Picha
    • Matokeo ya Kidato cha Pili 2018

“TUPANDE MITI KATIKA MAENEO YETU’

Imewekwa Mtandaoni mnamo: January 6th, 2023

Haya yamesemwa leo tarehe 06 januari 2023 na Afisa Elimu Msingi Ndg Hamisi Milowe kwa Niaba ya Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Manyonii katika kikao cha maandalizi ya uzinduzi wa upandaji miti  kilichofanyika katika ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya Manyoni kilichohudhuriwa  na Wadau mablimbali wa Mazingira.


“Tutunze mazingira kwa kuhakikisha tunapanda miti katika maeneo yetu, maeneo yetu mengi yapo wazi hivyo ni athari kubwa kwa Maisha yetu kwani tunaweza kukos hali ya hewa nzuri na pia kukosa mvua kabisa hivyo tuelimishe jamii juu ya umuhimu wa upandaji miti ili wawee kupanda miti kwenye maeneo yao

Wananchi wamekata miti sana ili kupata makazi na hata maeneo kwaajili ya shughuli za Kilimo hivyo maeneo yamebaki wazi bila miti, sasa tunakwenda kuanza kampeni rasmi ya kupanda miti kwenye maeneo yetu ili sasa kuboresha mazingira yetu na kuepuka madhara yatokanayo na mazingira kukosa miti”.

Ninawategemea sana katika zoezi hili la upandaji miti, Wenyeviti wote hakikisheni maeneo yenu yote yaliyowazi yanapandwa miti ili kufanikisha zoezi hili, tusimamie hili na tuwaelimishe wananchi wetu kuwa na hulka ya kupanda miti katika maeneo yao ya makazi ili kuboresha mazingira.



 

 

Naye Afisa Misitu Halmashauri Ndg Freedon Kikasi amesema; Kuanzia kesho tarehe 07 januari mkoa wa Singida katika kila wilaya tutakua na Uzinduzi wa upandaji miti hay ani Maagizo ya mkuu wetu wa Mkoa na katika mkoa mzima tunatakiwa kupanda miti Milioni 5, Hivyo niwaombe sana viongozi ushirikiane kwa pamoja ili kuhakikisha zoezi hili linafanikiwa kwa asilimia zote.

Tupande miti ili kurekebisha mandhari lakini pia ili kuepusha madhara yatokanayo na ukosekanaji wa miti,madhara ya kukosekana kwa miti hayatokei pale pale madhara yanatoke taratibu hivyo tujitahidi kuzuia madhara hayo. Amesisitiza Ndg Kikasi.

Ndg Kikasi amesema;Kila kaya Ipande Miti minne(4) kila mwaka na viongozi hakikisheni kwenye barabara zetu na kuzunguka vyanzo vya maji miti inapandwa lakini pia kwenye ofisi zote za Serikali kunakua na miti ya kutosha na itunzwe ili ikue. Wenyeviti wa vitongoji sisitizeni hili na waelimisheni wananchi juu ya hili.


Maeneo ambayo yatakua hayana miti na vyanzo vya maji ambavyo vitaharibika kwa kukosa miti nitaanza na viongozi wa maeneo husika kwasababu leo tumeitana kuelekezana ili mkayafanyie kazi na kuhakikisha tunafanikiwa kubadili mandhari ya maeneo yetu. Vyanzo vya maji vipandwe miti na mabango yawekwe kuonesha hiki ni chanzo cha maji ili sasa watakaoharibu wawajibishwe. Amesisittiza Ndg Kikasi

Halmashari zinatunga sheria za kulinda na kutunza miti yote inayopandwa ( Sheria ndogo za kusimamia Mazingira) Lakini pia zitaweka sheria kwa wale ambao hawataki kusiriki zoezi la kuapanda miti katika maeneo yao, Hivyo niwaombe viongozi na wananchi kwa ujumla kuunga mkono zoezi hili ili tufanikiwe kuboresha mazingira yetu.



Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI KWAAJILI YA SHUGHULI ZA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA September 15, 2024
  • TANGAZO LA UUZAJI WA MASHAMBA YA KOROSHO MWAKA 2022/2023 July 04, 2022
  • FOMU YA MAOMBI YA MASHAMBA YA KOROSHO MWAKA 2022/2023 July 04, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 12, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • KARIBUNI MJIPATIE VIWANJA KWA BEI NAFUU

    May 05, 2025
  • "KIKAO CHA PHC CHAFANYIKA"

    April 26, 2025
  • "Jimbo la Manyoni Mashariki kubadilishwa Jina"

    April 26, 2025
  • "UJUZI UTABADILISHA MAISHA YA WATANZANIA"

    March 23, 2025
  • Angalia zote

Video

Ngoma za asili Siku ya UKIMWI Duniani
video zingine

Kurasa za Karibu

  • About Manyoni
  • Completed Projects
  • Ongoing Projects
  • Primary Schools Students Registration (Prem)
  • Instagram

Tovuti Mashuhuri

  • TAMISEMI
  • President's Office, Public Service Management
  • Singida Region
  • Necta
  • MAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIA
  • Kupata Salary Slip

Fuatiliaji ya watembezi wa Kidunia

world map hits counter

Kihesabia Watembezi

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana nasi

    HALMASHAURI YA WILAYA MANYONI

    Sanduku la Posta: S.L.P 60 MANYONI

    Simu: +255 26 2540136

    Namba ya Simu: +255 26 2540136

    Barua Pepe za Watumishi: ded.manyonidc@singida.go.tz, ded@manyonidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera za Siri
    • Malalamiko
    • Maswali ya Mara Kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Haki Ya Kunakiri ©2019 Halmashauri Ya Wilaya Ya Manyoni . Haki Zote Zimehifadhiwa.