• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara Kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Manyoni District Council
Manyoni District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri Ya Wilaya Ya Manyoni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • History
        • Orodha Viongozi
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
      • Mchoro wa Kiutawala
      • Picha Ya Taasisi
    • Idara/Vitengo
      • Utawala & Utumishi
        • Majukumu ya Idara
        • Legal Seatings on Council's level
        • Department Information
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi & Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Utawala wa Mazingira na Usafi
      • Ujenzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio Vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
      • Huduma Zetu
        • Afya
        • Elimu
        • Maji
        • Kilimo
        • Mifugo
        • Uvuvi
    • Kilimo cha Korosho
    • Msimu wa mashamba ya Korosho 2019/2020
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba Ya Picha
    • Matokeo ya Kidato cha Pili 2018

Wajasiriamali wakumbushwa kurejesha mikopo ya asilimia 10 ya Halmashauri

Imewekwa Mtandaoni mnamo: February 8th, 2021

Wanufaika wa mikopo ya asilimia 10 ya mapato ya Halmashauri ya wilaya ya Manyoni wamesisitizwa kuzingatia urejeshaji wa mikopo yao kulingana na muda waliopangiwa kwenye makubaliano yao ili fedha hizo ziweze kuhudumia wahitaji wengine kwa wakati.

Hayo yamesemwa leo februali 8, 2021 na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Manyoni Ndg. Charles Fussi wakati akifanya kikao na viongozi wa Vikundi vya wajasiriamali ambavyo viliwahi kukopeshwa na vinavyotarajia kukopa, vilivyokamilisha marejesho na ambavyo havijakamilisha marejesho ikiwa ni sehemu ya kutoa elimu kwa wanufaika wa mikopo inayotokana na asilimia 10 ya mapato ya halmashauri ya wilaya ya Manyoni.

Kikao hicho ambacho kilihudhuriwa pia na maafisa wa Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa (TAKUKURU), Mkaguzi wa ndani wa halmashauri na Maafisa wa maendeleo ya Jamii ambao ndio waratibu wa vikundi vya ujasiriamali, Wanavikundi hao wamesisitizwa kuitumia vizuri ofisi ya Maendeleo ya jamii ambayo ndio mlezi wao katika shughuli mbalimbali ikiwemo kutatua changamoto zao ili kuhakikisha fedha ya serikali inaleta tija kwao na inarejeshwa ndani ya muda husika..

Katika kikao hicho pia wanufaika walipata elimu juu ya masuala mbalimbali ya kuepukana na vitendo vya rushwa, zikiwemo hatua mbalimbali za kufuata katika kupata mikopo hiyo, Elimu ya uendeshaji biashara, Utunzaji wa fedha, matumizi sahihi ya mikopo, vigezo vya utoaji mikopo ambapo pia walijadili changamoto mbalimbali zinazowakabili wanufaika hao.

Pamoja na hayo, wanufaika wa mikopo pia walisisitizwa kujiunga na mfuko wa bima ya afya ilioboreshwa (CHF) ili kuepuka gharama za matibabu za hapo kwa hapo katika hospitali,vituo vya Afya na zahanati

Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI YA NAFASI YA UTENDAJI WA KIJIJI MANYONI DC May 25, 2022
  • JINSI YA KUPATA SHAMBA LA KOROSHO MSIMU WA 2019/2020 May 13, 2019
  • TANGAZO LA UUZAJI WA VIWAJA October 28, 2021
  • Fomu ya Maombi ya kupimiwa mashamba ya Korosho April 18, 2020
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • RC MAHENGE ASISITIZA USHIRIKIANO

    May 11, 2022
  • MANYONI SASA KUUZA KOROSHO KWA NJIA YA MNADA

    April 05, 2022
  • mil.300 kujenga jengo la dharula

    March 16, 2022
  • SIKU YA WANAWAKE DUNIANI

    March 10, 2022
  • Angalia zote

Video

Ngoma za asili Siku ya UKIMWI Duniani
video zingine

Kurasa za Karibu

  • About Manyoni
  • Completed Projects
  • Ongoing Projects
  • Primary Schools Students Registration (Prem)
  • Instagram

Tovuti Mashuhuri

  • TAMISEMI
  • President's Office, Public Service Management
  • Singida Region
  • Necta
  • MAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIA
  • Kupata Salary Slip

Fuatiliaji ya watembezi wa Kidunia

world map hits counter

Kihesabia Watembezi

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Manyoni

    Sanduku la Posta: S.L.P 60, Manyoni

    Simu: +255 26 2540136

    Namba ya Simu: +255 712 028027

    Barua Pepe za Watumishi: ded.manyonidc@singida.go.tz, ded@manyonidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera za Siri
    • Malalamiko
    • Maswali ya Mara Kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Haki Ya Kunakiri ©2019 Halmashauri Ya Wilaya Ya Manyoni . Haki Zote Zimehifadhiwa.