• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara Kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Manyoni District Council
Manyoni District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri Ya Wilaya Ya Manyoni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • History
        • Orodha Viongozi
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
      • Mchoro wa Kiutawala
      • Picha Ya Taasisi
    • Idara/Vitengo
      • Utawala & Utumishi
        • Majukumu ya Idara
        • Legal Seatings on Council's level
        • Department Information
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi & Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Utawala wa Mazingira na Usafi
      • Ujenzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio Vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
      • Huduma Zetu
        • Afya
        • Elimu
        • Maji
        • Kilimo
        • Mifugo
        • Uvuvi
    • Kilimo cha Korosho
    • Msimu wa mashamba ya Korosho 2019/2020
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba Ya Picha
    • Matokeo ya Kidato cha Pili 2018

"WALIMU WAASWA KUTEKELEZA MAJUKUMU YAO KWA BIDII NA WELEDI"

Imewekwa Mtandaoni mnamo: September 30th, 2022

“Walimu mnatakiwa kuhakikisha mnatekeleza majukumu yenu kwa bidii kubwa na weledi wa hali ya juu kwa kufata miongozo kanuni na taratibu zilizowekwa ili  kuleta matokeo chanya katika taasisi zenu”.

Haya yamesemwa na Bi Leila Sawe Afisa Tawala Wilaya ya Manyoni Muwakilishi wa Mh Mkuu wa Wilaya ya Manyoni leo tarehe 30 septemba kwenye hotuba yake ya ufunguzi wa  Mkutano mkuu wa kisheria wa Chama cha Walimu (CWT) uliofanyika katika ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya Manyoni.

Bi Leila Sawe Aliserma “Wiki ijayo tarehe 5-6 oktoba tunakwenda kuanza mitihani ya darasa la saba hivyo tuisimamie kwa kuzingatia miiko ya mitihani yan kanuni na taratibu  na sheria za mitihani kwa kufanya hivyo wote tutakua salama” . 

Pia tuwe mabalozi wazuri wa kuyasema yale ambayo Raisi wetu wa awamu ya sita Mh Samia Suluhu Hassan anayafanya  kwa kuleta fedha kwaajili ya madarasa na miundo mbinu mingine ili kuhakikisha kuna mazingira rafiki ya utendaji kazi.

Aidha, mkutano huo pia ulihudhuriwa na Mwenyekiti wa CWT mkoa wa Singida ,Hamisi Mtaturu nae alikua na haya ya kusema  ”Tukasimamie mitihani kwa kipindi hichi cha mitihani  na sio tuwe sehemu ya wafanya mitihani na Kama chama kwa kuwa mmetuamini na kutuchagua  tutahakikisha tunasimamia haki zenu walimu na tunatatua matatizo yenu kwa wakati ili muone faida ya chama chenu. Pia nawaasa msidai Rushwa wakati wa kutimiza majukumu yenu kwani kufanya hivyo ni kukiuka kanuni sheria na taratibu zilizowekwa na Nchi.

Gwamaka Mwakanyamale, Mwenyekiti wa CWT Wilaya ya Manyoni nae alisema “Nawashukuru Wakurugenzi wa Halmashauri zote yani Itigi na Manyoni kwa kutujali na kututhamini na kushirikiana na sisi kwenye mambo mbalimbali kwenye Taasisi zetu lakini pia kwenye mambo ya kijamii kama misiba ya watumishi wenzetu, Tunaomba muendelee na Moyo huo. Pia nawashauri walimu kujiunga na Mwalimu Commercial Bank (MCB)  kwani ndio bank yao na kukua kwa banki hiyo inategemea walimu kujiunga kwa wingi na kupata huduma kupitia banki hiyo.

Hamisi Milowe, Afisa elimu Msingi mwisho alisisitiza kuwa wiki ijayo tutakua na mitihani ya darasa la saba tarehe 5-6 oktoba hivyo kila mmoja kwa nafasi yake tuisimamie kwa Uadilifu kwani tuna dhamana kubwa,Matokeo yoyote yanayokuja baada ya mitihani sisi ndio wakunyoshewa vidole hvyo tujitahidi katika majukumu yetu kufundisha vizuri ili matokeo kwa Watoto wetu yawe mazuri.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI KWAAJILI YA SHUGHULI ZA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA September 15, 2024
  • TANGAZO LA UUZAJI WA MASHAMBA YA KOROSHO MWAKA 2022/2023 July 04, 2022
  • FOMU YA MAOMBI YA MASHAMBA YA KOROSHO MWAKA 2022/2023 July 04, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 12, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • KARIBUNI MJIPATIE VIWANJA KWA BEI NAFUU

    May 05, 2025
  • "KIKAO CHA PHC CHAFANYIKA"

    April 26, 2025
  • "Jimbo la Manyoni Mashariki kubadilishwa Jina"

    April 26, 2025
  • "UJUZI UTABADILISHA MAISHA YA WATANZANIA"

    March 23, 2025
  • Angalia zote

Video

Ngoma za asili Siku ya UKIMWI Duniani
video zingine

Kurasa za Karibu

  • About Manyoni
  • Completed Projects
  • Ongoing Projects
  • Primary Schools Students Registration (Prem)
  • Instagram

Tovuti Mashuhuri

  • TAMISEMI
  • President's Office, Public Service Management
  • Singida Region
  • Necta
  • MAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIA
  • Kupata Salary Slip

Fuatiliaji ya watembezi wa Kidunia

world map hits counter

Kihesabia Watembezi

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana nasi

    HALMASHAURI YA WILAYA MANYONI

    Sanduku la Posta: S.L.P 60 MANYONI

    Simu: +255 26 2540136

    Namba ya Simu: +255 26 2540136

    Barua Pepe za Watumishi: ded.manyonidc@singida.go.tz, ded@manyonidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera za Siri
    • Malalamiko
    • Maswali ya Mara Kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Haki Ya Kunakiri ©2019 Halmashauri Ya Wilaya Ya Manyoni . Haki Zote Zimehifadhiwa.