• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara Kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Manyoni District Council
Manyoni District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri Ya Wilaya Ya Manyoni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • History
        • Orodha Viongozi
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
      • Mchoro wa Kiutawala
      • Picha Ya Taasisi
    • Idara/Vitengo
      • Utawala & Utumishi
        • Majukumu ya Idara
        • Legal Seatings on Council's level
        • Department Information
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi & Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Utawala wa Mazingira na Usafi
      • Ujenzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio Vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
      • Huduma Zetu
        • Afya
        • Elimu
        • Maji
        • Kilimo
        • Mifugo
        • Uvuvi
    • Kilimo cha Korosho
    • Msimu wa mashamba ya Korosho 2019/2020
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba Ya Picha
    • Matokeo ya Kidato cha Pili 2018

"WATUMISHI WAASWA KUJIUNGA NA JESHI LA AKIBA"

Imewekwa Mtandaoni mnamo: November 28th, 2022

Mkuu wa Wilaya ya Manyoni Mh Rahabu Mwagisa amewaasa watumishi kujiunga na Jeshi la Akiba ili kujenga ukakamavu wa mwili na akili lakini pia kujifunza  kuwa wazalendo kwa Taifa lao.

 Mh Mwagisa ameyasema haya Tarehe 25 Novemba 2022 alipokua akifunga Mafunzo ya Jeshi la Akiba yaliyokua yakifanyika katika kijiji cha Kamenyanga kata ya Agondi Wilaya ya Manyoni ambapo Askari wa Jeshi la Akiba wapatao 143 wamehitimu Mafunzo hayo.


Mh Mwagisa alisema "Wananchi ninawaomba sana zinapotokea fursa hizi za kujiunga na mafunzo haya ya jeshi la akiba tuendelee kujitokeza kwa wingi ili kujenga taifa lenye vijana wakakamavu wa akili na mwili na kuwafanya vijana hao kuwa wazalendo kwa Taifa lao lakini pia watumishi taasisi mbalimbali pia hii ni fursa kwenu ili kujenga afya ya miili na akili zenu hivyo ninawaasa kwa wakati ujao watumishi mjiunge kwenye mafunzo haya.


 Ninawapongeza vijana hawa wanaohitimu mafunzo haya siku ya leo kwa kuonesha namna wanavoithamini nchi yao kwa kushiriki shughuli mbalimbali za maendeleo ikiwemo  nguvu kazi kusaidia ujenzi wa madarasa katika shule mbalimbali zinazozunguka kambi yao ya mafunzo ya jeshi la akiba. Alisisitiza Mh Mwagisa


Mwisho Mh Mwagisa alisema; Msimu wa kilimo umeshafika hivyo wananchi tuandae mashamba kwaajili ya kilimo cha chakula lakini pia kilimo cha biashara. Wilaya ya Manyoni tuna kampeni ya kutokomeza njaa hivyo niwaombe sana wananchi kushiriki vyema kwenye kilimo kwa msimo huu ili kujikwamua na familia zetu, 

Lakini pia tuna wataalamu wetu wa kilimo tuwatumie ili tulime kilimo chenye tija na tupate mazao yatakayo tutosheleza kwaajili ya jamii yetu. Niwatakie kila la kheri katika msimu huu wa kilimo na ninaamini tutavuna sana kipindi cha mavuno kitakapofika.





Viongozi mbalimbali waliohudhuria mahafali hayo ya jeshi la akiba





Mh Mwagisa akikagua Gwaride

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI KWAAJILI YA SHUGHULI ZA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA September 15, 2024
  • TANGAZO LA UUZAJI WA MASHAMBA YA KOROSHO MWAKA 2022/2023 July 04, 2022
  • FOMU YA MAOMBI YA MASHAMBA YA KOROSHO MWAKA 2022/2023 July 04, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 12, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • KARIBUNI MJIPATIE VIWANJA KWA BEI NAFUU

    May 05, 2025
  • "KIKAO CHA PHC CHAFANYIKA"

    April 26, 2025
  • "Jimbo la Manyoni Mashariki kubadilishwa Jina"

    April 26, 2025
  • "UJUZI UTABADILISHA MAISHA YA WATANZANIA"

    March 23, 2025
  • Angalia zote

Video

Ngoma za asili Siku ya UKIMWI Duniani
video zingine

Kurasa za Karibu

  • About Manyoni
  • Completed Projects
  • Ongoing Projects
  • Primary Schools Students Registration (Prem)
  • Instagram

Tovuti Mashuhuri

  • TAMISEMI
  • President's Office, Public Service Management
  • Singida Region
  • Necta
  • MAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIA
  • Kupata Salary Slip

Fuatiliaji ya watembezi wa Kidunia

world map hits counter

Kihesabia Watembezi

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana nasi

    HALMASHAURI YA WILAYA MANYONI

    Sanduku la Posta: S.L.P 60 MANYONI

    Simu: +255 26 2540136

    Namba ya Simu: +255 26 2540136

    Barua Pepe za Watumishi: ded.manyonidc@singida.go.tz, ded@manyonidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera za Siri
    • Malalamiko
    • Maswali ya Mara Kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Haki Ya Kunakiri ©2019 Halmashauri Ya Wilaya Ya Manyoni . Haki Zote Zimehifadhiwa.