• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara Kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Manyoni District Council
Manyoni District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri Ya Wilaya Ya Manyoni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • History
        • Orodha Viongozi
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
      • Mchoro wa Kiutawala
      • Picha Ya Taasisi
    • Idara/Vitengo
      • Utawala & Utumishi
        • Majukumu ya Idara
        • Legal Seatings on Council's level
        • Department Information
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi & Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Utawala wa Mazingira na Usafi
      • Ujenzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio Vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
      • Huduma Zetu
        • Afya
        • Elimu
        • Maji
        • Kilimo
        • Mifugo
        • Uvuvi
    • Kilimo cha Korosho
    • Msimu wa mashamba ya Korosho 2019/2020
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba Ya Picha
    • Matokeo ya Kidato cha Pili 2018

Waziri Mkuu Azindua Maonesho ya Nanenane 2024 Kanda ya Kati, Serikali Yataka Wakulima Kuongeza Uzalishaji.

Imewekwa Mtandaoni mnamo: August 1st, 2024



Serikali imewataka Wakulima, Wafugaji na Wavuvi nchini kuongeza maradufu uzalishaji wa mazao na bidhaa mbalimbali katika sekta hizo kwa sababu soko la uhakika la mazao hayo lipo ndani na nje ya nchi.


Kauli hiyo imetolewa na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa wakati anazindua Maonesho ya Nane Nane Kitaifa na Kimataifa Kanda ya Kati yaliyofanyika katika Viwanja vya Nzuguni mkoani Dodoma.

Majaliwa amesema hadi kufikia mwezi wa Sita mwaka huu tayari Serikali imepata Dola bilioni 2.3 kwa kuuza mazao mbalimbali ikiwemo matunda na jamii ya kunde nje ya nchi.


Amesema kazi iliyopo kwa sasa ni kuhakikisha Maafisa Ugani wanawasaidia Wakulima, Wafugaji na Wavuvi kupata masoko hayo kwa urahisi kwa njia ya Kidigitali ili wananchi waweze kunufaika ipasavyo kwa kuongeza uchumi wao na wa Taifa kwa ujumla.

“Wakulima wa Mahindi msiwe na mashaka limeni mahindi ya kutosha soko lipo “Amesisitiza Majaliwa.


Waziri Mkuu pia ameeleza kuwa kwa sasa Mataifa mbalimbali yameomba kuja kununua mahindi nchini ikiwemo Kongo, Zambia na Shirika la Mpango wa Chakula Duniani – WFP- hivyo ni uda sasa kwa wakulima kutumia njia za kisasa katika kilimo ili kuongeza uzalishaji.


Aidha, Majaliwa amesema kuwa hadi kufikia mwezi wa Nne mwaka huu zaidi ya Tani Milioni 13 za nyama zenye thamani zaidi ya Dola za Kimarekani Milioni 56 zimeuza kwenye Mataifa ya Komoro, Jordan, Oman, Kuwait na Saudi Arabia.

Naye, Mkuu wa mkoa wa Singida Halima Dendego, akizungumza kwenye uzinduzi wa Maonesho hayo pamoja na kuishukuru Serikali kwa kuupatia Mkoa wa Singida Mabilioni ya fedha kwa ajili ya uimarishaji wa shughuli mbalimbali za kijamii, amesisitiza kuwa mkoa utaendelea kuimarisha kwa kiwango cha hali ya juu shughuli za Kilimo, Mifugo na Uvuvi ili wananchi wanaofanya shughuli hizo waweze kuimarika kiuchumi na kuchangia katika pato la Taifa.

Dendego amesema mkoa wa Singida kwa sasa unaendelea kufungua mashamba ya pamoja na Sekta binafsi hasa katika zao la Korosho nia ni kuona Mkulima ananufaika kwa kiasi kikubwa na kilimo hicho katika kukuza pato lake la Taifa kwa ujumla.


Aidha, Dendego ameishukuru Serikali kwa kuupatia mkoa huo miradi mikubwa ya Umwagiliaji inayogharimu zaidi ya Bilioni 54 miradi ambayo amesema inaenda kuongeza eneo la umwagiliaji kutoka hekta elfu 17 hadi kufikia hekta 21,400 sawa na asilimia 43 ya eneo lote linalofaa kwa shughuli za umwagiliaji mkoani humo.

Dendego ameiahidi Serikali Kuu kuwa yeye na Watendaji wengine wataendelea kuimarisha sekta za Kilimo, Mifugo na Uvuvi ili sekta hizo ziweze kuwakwamua wananchi kiuchumi.


Kauli mbinu ya Mwaka huu ni Chagua Viongozi Bora wa Serikali za Mitaa kwa Maendeleo Endelevu ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi”.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI KWAAJILI YA SHUGHULI ZA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA September 15, 2024
  • TANGAZO LA UUZAJI WA MASHAMBA YA KOROSHO MWAKA 2022/2023 July 04, 2022
  • FOMU YA MAOMBI YA MASHAMBA YA KOROSHO MWAKA 2022/2023 July 04, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 12, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • KARIBUNI MJIPATIE VIWANJA KWA BEI NAFUU

    May 05, 2025
  • "KIKAO CHA PHC CHAFANYIKA"

    April 26, 2025
  • "Jimbo la Manyoni Mashariki kubadilishwa Jina"

    April 26, 2025
  • "UJUZI UTABADILISHA MAISHA YA WATANZANIA"

    March 23, 2025
  • Angalia zote

Video

Ngoma za asili Siku ya UKIMWI Duniani
video zingine

Kurasa za Karibu

  • About Manyoni
  • Completed Projects
  • Ongoing Projects
  • Primary Schools Students Registration (Prem)
  • Instagram

Tovuti Mashuhuri

  • TAMISEMI
  • President's Office, Public Service Management
  • Singida Region
  • Necta
  • MAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIA
  • Kupata Salary Slip

Fuatiliaji ya watembezi wa Kidunia

world map hits counter

Kihesabia Watembezi

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana nasi

    HALMASHAURI YA WILAYA MANYONI

    Sanduku la Posta: S.L.P 60 MANYONI

    Simu: +255 26 2540136

    Namba ya Simu: +255 26 2540136

    Barua Pepe za Watumishi: ded.manyonidc@singida.go.tz, ded@manyonidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera za Siri
    • Malalamiko
    • Maswali ya Mara Kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Haki Ya Kunakiri ©2019 Halmashauri Ya Wilaya Ya Manyoni . Haki Zote Zimehifadhiwa.