• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara Kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Manyoni District Council
Manyoni District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri Ya Wilaya Ya Manyoni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • History
        • Orodha Viongozi
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
      • Mchoro wa Kiutawala
      • Picha Ya Taasisi
    • Idara/Vitengo
      • Utawala & Utumishi
        • Majukumu ya Idara
        • Legal Seatings on Council's level
        • Department Information
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi & Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Utawala wa Mazingira na Usafi
      • Ujenzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio Vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
      • Huduma Zetu
        • Afya
        • Elimu
        • Maji
        • Kilimo
        • Mifugo
        • Uvuvi
    • Kilimo cha Korosho
    • Msimu wa mashamba ya Korosho 2019/2020
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba Ya Picha
    • Matokeo ya Kidato cha Pili 2018

ZIARA YA MADIWANI NA WATENDAJI WA HALMASHAURI YA MSALALA WILAYANI MANYONI

Imewekwa Mtandaoni mnamo: December 22nd, 2022


Mwenyekiti wa Halmashauri ya Msalala Mhe. MIBAKO MABUBU alisema;  Dhumuni  kuu la ziara hii ni kujifunza kilimo cha zao la korosho kutoka katika Halmashauri ya Manyoni kwani Halmashauri ya Wilaya Manyoni ni miongoni mwa Halmashauri zinazofanya vizuri kwenye kilimo cha zao la Korosho hivyo tumeona vyema kuja kuwatembelea kuona namna mnavofanya katika kilimo hiki ili nasi tujifunze kutoka kwenu na tukafanyie kazi tutakayojifunza hapa. 


Nae Mwenyekiti wa Halmashauri ya Manyoni Mhe. JUMANNE SHABANI MLAGAZA aliwakaribisha wageni na kuwashukuru kwa kutembelea Manyoni na kusema kuwa lengo lao la kutaka kujifunza ni zuri kwa hiyo ni vizuri wasitumie muda mwingi ukumbini badala yake wapelekwe moja kwa moja MASIGATI kwenye mashamba ya korosho ili waweze kujionea wenyewe na kujifunza.

"Karibuni sana Halmashauri ya manyoni na tunawashukuru kwakua mmeamua kufika Manyoni ili mjionee na kujifunza juu ya zao hili la korosho hivyo basi ni vema tukaelekea kwenye mashamba ya Korosho moja kwa moja yaliopo maeneo ya Masigati ili kujifunza kwa vitendo huko huko shamabni kuliko kuchukua muda mwingi hapa ukumbini".



Mwenyekiti wa Halmashauri ya Manyoni kushoto na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Msalala kulia

Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manyoni Ndg. Fadhili chimsala alisema taarifa fupi ya kilimo cha korosho kwa sasa ,kuwa hekari 1250 ndo zilianza kupandwa na kwa sasa kuna jumla ya hekari 20,000 ambazo zimepandwa korosho manyoni na ameongeza kwa kusema kuwa  kwa sasa kuna jumla ya wakulima 1,177 waliopanda korosho ambazo zipo katika hatua tofauti tofauti ya ukuaji.zao la korosho ni chanzo kizuri cha mapato katika Halmashauri yetu ya Manyoni na tunashukuru tunapata wawekezaji wengi sana ambao ndio wanalima katika mashamba yetu haya ya pamoja ya kilimo cha korosho. Na katika Halmashauri hii tuna mashamba mengine yako katika kata ya saranda, makutopora na mkwese ambayo nayo ni ya kilimo chas pamoja.




Mtaalamu kutoka katika kituo cha TARI  Halmashauri ya Manyoni  pia alieleza kiufupi jinsi ya  kuandaa na kupanda miche/mbegu ya korosho, lakini pia alitaja baadhi ya magonjwa ambayo yanaweza kuathiri zao/mmea wa korosho ambazo ni:  (1) PMD(ugwili unga)- ni fangasi na aina hii ya ugonjwa unashambulia maua pindi yanapoanza kujitokeza, (2)DIE BACK(kufa kinyume)- unasababishwa na mbuu, (3) Bright . Lakini pia aliendelea kwa kutoa elimu ya jinsi gani unaweza kuzuia magonjwa  haya kwa kufanya yafatayo: Usafi wa shama, kupunguza matawi/majani chini ya mkorosho na kutumia madawa/viwatilifu.



Mkurugenzi wa Halmashauri ya Msalala kushoto na Kaimu mkurugenzi wa Halmashauri ya Manyoni kulia

Mheshimiwa diwani wa Msalala Ndg MATRIDA MSOMAA amemuomba Mwenyekiti wa Halmashauri ya Manyoni aweze kuahazima wataalamu wa zao la korosho  kutoka Manyoni pindi nao watakapoanzisha kilimo cha  zao la  korosho uko katika Halmashauri yao ya Msalala na Mwenyekiti ameridhia ombi hilo na kusema kuwa watapewa wataalamu pindi watakapowahitaji ili kuwasaidia katika kuandaa kilimo cha korosho katika halmashauri yao.

                                  





















Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI KWAAJILI YA SHUGHULI ZA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA September 15, 2024
  • TANGAZO LA UUZAJI WA MASHAMBA YA KOROSHO MWAKA 2022/2023 July 04, 2022
  • FOMU YA MAOMBI YA MASHAMBA YA KOROSHO MWAKA 2022/2023 July 04, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 12, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • KARIBUNI MJIPATIE VIWANJA KWA BEI NAFUU

    May 05, 2025
  • "KIKAO CHA PHC CHAFANYIKA"

    April 26, 2025
  • "Jimbo la Manyoni Mashariki kubadilishwa Jina"

    April 26, 2025
  • "UJUZI UTABADILISHA MAISHA YA WATANZANIA"

    March 23, 2025
  • Angalia zote

Video

Ngoma za asili Siku ya UKIMWI Duniani
video zingine

Kurasa za Karibu

  • About Manyoni
  • Completed Projects
  • Ongoing Projects
  • Primary Schools Students Registration (Prem)
  • Instagram

Tovuti Mashuhuri

  • TAMISEMI
  • President's Office, Public Service Management
  • Singida Region
  • Necta
  • MAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIA
  • Kupata Salary Slip

Fuatiliaji ya watembezi wa Kidunia

world map hits counter

Kihesabia Watembezi

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana nasi

    HALMASHAURI YA WILAYA MANYONI

    Sanduku la Posta: S.L.P 60 MANYONI

    Simu: +255 26 2540136

    Namba ya Simu: +255 26 2540136

    Barua Pepe za Watumishi: ded.manyonidc@singida.go.tz, ded@manyonidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera za Siri
    • Malalamiko
    • Maswali ya Mara Kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Haki Ya Kunakiri ©2019 Halmashauri Ya Wilaya Ya Manyoni . Haki Zote Zimehifadhiwa.