• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara Kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Manyoni District Council
Manyoni District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri Ya Wilaya Ya Manyoni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • History
        • Orodha Viongozi
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
      • Mchoro wa Kiutawala
      • Picha Ya Taasisi
    • Idara/Vitengo
      • Utawala & Utumishi
        • Majukumu ya Idara
        • Legal Seatings on Council's level
        • Department Information
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi & Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Utawala wa Mazingira na Usafi
      • Ujenzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio Vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
      • Huduma Zetu
        • Afya
        • Elimu
        • Maji
        • Kilimo
        • Mifugo
        • Uvuvi
    • Kilimo cha Korosho
    • Msimu wa mashamba ya Korosho 2019/2020
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba Ya Picha
    • Matokeo ya Kidato cha Pili 2018

MH DC MANYONI AMSHUKURU RAISI SAMIA SULUHU HASSANI

Imewekwa Mtandaoni mnamo: November 9th, 2022

Mkuu wa Wilaya ya Manyoni Mh Rahabu Mwagisa ameendelea na ziara yake tarehe 08 Novemba 2022 katika kitongoji cha chang'ombe ambapo amefanya mkutano wa hadhara kusikiliza na kutatua kero za wananchi hao.Furaha isio na kifani ilionekana kwa wananchi wa Chang'ombe baada ya Mh Mwagisa kufika.

Mh Rahabu Mwagisa kabla ya kusikiliza kero za wananchi alianza kwa Kuishukuru Serikali ya awamu ya Sita "Tunamshukuru Mama yetu Samia Suluhu Hassani Raisi wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kutuletea fedha nyingi katika Wilaya yetu ya Manyoni kwaajili ya Miradi mbalimbali ikiwemo Barabara,Maji,Elimu,Afya,Umeme,Kilimo na sekta zingne nyingi kwakweli Mama anaupiga Mwingi.Hivyo kwa nafasi zetu pia huku chini tunatakiwa kuisimamia na kuhakikisha miradi hii inakamilika kwa wakati lakini ikiwa na kiwango kizuri kinachoendana na thamani ya fedha zilizokuja na pia tuilinde ili idumu. 




Wananchi wa chang'ombe

Mh Mwagisa alisikiliza kero za Wananchi na kuzitatua papo kwa kwa papo kwakua walikuepo wakuu wa taasisi zote na wakuu wa divisheni na vitengo,Kero zilizojitokeza ni pamoja na Afya, Maji, Umeme, Wanyama pori, Ajira za SGR, na changamoto zingine nyingi ambazo zilitztuliwa hapo hapo na Mkuu wa Wilaya.

"tuboreshe Ulinzi kwenye maeneo yetu na ikumbukwe mlinzi namba moja ni sisi wenyewe,kupitia vitongoji vyetu tuunde vikundi vya ulinzi shirikishi ili maeneo yetu yalindwe wakati wote kuepuka uhalifu.Vikundi viundwe na OCD ataleta timu yake kuwapa mafunzo ya namna ya kulinda.Pia ninaamini wanaofanya uhalifu ni watoto, vijana wetu  au watu wetu wa karibu na tunawafahamu naomba wananchi wa chang'ombe tuwe tunawafichua ili kukomesha uhalifu kwenye Wilaya yetu. Alisisitiza Mh Mwagisa.



Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI KWAAJILI YA SHUGHULI ZA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA September 15, 2024
  • TANGAZO LA UUZAJI WA MASHAMBA YA KOROSHO MWAKA 2022/2023 July 04, 2022
  • FOMU YA MAOMBI YA MASHAMBA YA KOROSHO MWAKA 2022/2023 July 04, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 12, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • KARIBUNI MJIPATIE VIWANJA KWA BEI NAFUU

    May 05, 2025
  • "KIKAO CHA PHC CHAFANYIKA"

    April 26, 2025
  • "Jimbo la Manyoni Mashariki kubadilishwa Jina"

    April 26, 2025
  • "UJUZI UTABADILISHA MAISHA YA WATANZANIA"

    March 23, 2025
  • Angalia zote

Video

Ngoma za asili Siku ya UKIMWI Duniani
video zingine

Kurasa za Karibu

  • About Manyoni
  • Completed Projects
  • Ongoing Projects
  • Primary Schools Students Registration (Prem)
  • Instagram

Tovuti Mashuhuri

  • TAMISEMI
  • President's Office, Public Service Management
  • Singida Region
  • Necta
  • MAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIA
  • Kupata Salary Slip

Fuatiliaji ya watembezi wa Kidunia

world map hits counter

Kihesabia Watembezi

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana nasi

    HALMASHAURI YA WILAYA MANYONI

    Sanduku la Posta: S.L.P 60 MANYONI

    Simu: +255 26 2540136

    Namba ya Simu: +255 26 2540136

    Barua Pepe za Watumishi: ded.manyonidc@singida.go.tz, ded@manyonidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera za Siri
    • Malalamiko
    • Maswali ya Mara Kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Haki Ya Kunakiri ©2019 Halmashauri Ya Wilaya Ya Manyoni . Haki Zote Zimehifadhiwa.