• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara Kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Manyoni District Council
Manyoni District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri Ya Wilaya Ya Manyoni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • History
        • Orodha Viongozi
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
      • Mchoro wa Kiutawala
      • Picha Ya Taasisi
    • Idara/Vitengo
      • Utawala & Utumishi
        • Majukumu ya Idara
        • Legal Seatings on Council's level
        • Department Information
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi & Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Utawala wa Mazingira na Usafi
      • Ujenzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio Vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
      • Huduma Zetu
        • Afya
        • Elimu
        • Maji
        • Kilimo
        • Mifugo
        • Uvuvi
    • Kilimo cha Korosho
    • Msimu wa mashamba ya Korosho 2019/2020
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba Ya Picha
    • Matokeo ya Kidato cha Pili 2018

Zoezi la ukamilishaji ujenzi wa kitalu nyumba (green house) katika Halmashauri ya Wilaya ya Manyoni

Imewekwa Mtandaoni mnamo: September 27th, 2021

          Mradi wa ujenzi wa kitalu nyumba ambayo ni maelekezo kutoka ofisi ya Waziri Mkuu kwa ajili ya KUTOA ELIMU kwa vijana kujifunza , kupata ujuzi wa utengenezaji wa vitalu nyumba ili kuweza kuzalisha mazao bora kwa wingi zaidi.

       Akizungumza wakati wa kukabidhi Mhandisi kutoka SOKOINE UNIVERSITY GRADUATE ENTERPRENER COOPERATIVE (SUGECO) Rose George Ng’atigwa alisema kuwa mafunzo haya yametolewa kwa vijana 20 ambapo baada ya kukamilika kwa mradi wataongeza vijana wengine 60 ili kuweza kupata mafunzo jinsi ya kulima mazao hayo.

     “Baada ya haya mafunzo ni mategemeo yetu kuwa vijana hawa watakuwa walimu kwa watu wengine”alisema Ng’atigwa.

      Naye Afisa kilimo wa Halmashauri ya Wilaya ya Manyoni Fadhili Chimsala ameishukuru Serikali kupitia Ofisi ya Waziri Mkuu kuona tija ya kuwasaidia vijana kuweza kupata ujuzi huo na kwamba vijana wengi sasa wataweza kujikwamua na kunufaika na mradi huu endapo watautumia kama fursa kwao.

          Chimsala amesema kuwa anawaomba vijana kuweza kutumia fursa hiyo kwani imewafikia kwa wakati na kwamba tayari kitalu nyumba kipo tayari kilichobaki ni kuotesha tu mazao ambapo mafunzo yata  fanyika kwa vijana kwa vitendo.Aidha ameongeza kwa kusema kuwa wahusika ni vijana wote kutoka ndani ya Wilaya ya Manyoni.

           “nitoe rai kwa vijana kuweza kujitokeza kuja kujifunza kwani mradi huu nifursa kwao kwahiyo ni vyema waache kukaa vijiweni waje pindi muda utakapowadia wajitokeze kwa wingi kwani kilimo hiki ni rahsi na mafunzo haya ni bure”Alisema Chimsala.

         Zoezi la ukamilishaji ujenzi wa kitalu nyumba (green house) katika Halmashauri ya Wilaya ya Manyoni wakamilika kwa Asilimia 100% .

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI KWAAJILI YA SHUGHULI ZA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA September 15, 2024
  • TANGAZO LA UUZAJI WA MASHAMBA YA KOROSHO MWAKA 2022/2023 July 04, 2022
  • FOMU YA MAOMBI YA MASHAMBA YA KOROSHO MWAKA 2022/2023 July 04, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 12, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • KARIBUNI MJIPATIE VIWANJA KWA BEI NAFUU

    May 05, 2025
  • "KIKAO CHA PHC CHAFANYIKA"

    April 26, 2025
  • "Jimbo la Manyoni Mashariki kubadilishwa Jina"

    April 26, 2025
  • "UJUZI UTABADILISHA MAISHA YA WATANZANIA"

    March 23, 2025
  • Angalia zote

Video

Ngoma za asili Siku ya UKIMWI Duniani
video zingine

Kurasa za Karibu

  • About Manyoni
  • Completed Projects
  • Ongoing Projects
  • Primary Schools Students Registration (Prem)
  • Instagram

Tovuti Mashuhuri

  • TAMISEMI
  • President's Office, Public Service Management
  • Singida Region
  • Necta
  • MAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIA
  • Kupata Salary Slip

Fuatiliaji ya watembezi wa Kidunia

world map hits counter

Kihesabia Watembezi

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana nasi

    HALMASHAURI YA WILAYA MANYONI

    Sanduku la Posta: S.L.P 60 MANYONI

    Simu: +255 26 2540136

    Namba ya Simu: +255 26 2540136

    Barua Pepe za Watumishi: ded.manyonidc@singida.go.tz, ded@manyonidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera za Siri
    • Malalamiko
    • Maswali ya Mara Kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Haki Ya Kunakiri ©2019 Halmashauri Ya Wilaya Ya Manyoni . Haki Zote Zimehifadhiwa.