• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara Kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Manyoni District Council
Manyoni District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri Ya Wilaya Ya Manyoni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • History
        • Orodha Viongozi
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
      • Mchoro wa Kiutawala
      • Picha Ya Taasisi
    • Idara/Vitengo
      • Utawala & Utumishi
        • Majukumu ya Idara
        • Legal Seatings on Council's level
        • Department Information
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi & Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Utawala wa Mazingira na Usafi
      • Ujenzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio Vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
      • Huduma Zetu
        • Afya
        • Elimu
        • Maji
        • Kilimo
        • Mifugo
        • Uvuvi
    • Kilimo cha Korosho
    • Msimu wa mashamba ya Korosho 2019/2020
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba Ya Picha
    • Matokeo ya Kidato cha Pili 2018

RC MAHENGE ASISITIZA USHIRIKIANO

Imewekwa Mtandaoni mnamo: May 11th, 2022

Watumishi wa umma katika Halmashauri ya Wilaya ya Manyoni wametakiwa kuacha kabisa kujiingiza katika mambo ya siasa na badala yake wajikite katika kutekeleza majukumu yao kwa ufasaha na kwa ushirikiano .

Kauli hiyo imetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Singida Dkt Binilithi Mahenge wakati akiwa katika kikao kazi na Waheshimiwa Madiwani  na Wakuu wa Idara na Vitengo kilichofanyika katika ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya Manyoni ikiwa ni sehemu ya ziara yake ya kukagua utekezwaji wa zoezi la anwani za makazi na post kodi.

Dkt Mahenge ameeleza kuwa Halmashauri ya Manyoni imekuwa  na changamoto katika uwekaji wa anwani za makazi na posti kodi mjini na vijijini kutokana na kufanya kazi bila ushirikiano  na kutowajibika kikamilifu  kwa waliopewa dhamana ya kusimamia zoezi hilo .

Dkt Mahenge amesema kuwa kusuasua kwa zoezi la uwekaji wa anwani za makazi limejitokeza kutokana na ushirikishwaji mdogo  baina ya watendaji na madiwani pamoja na wakuu wa idara.

Katika hilo Dkt Mahenge amewataka waheshimiwa madiwani wa kata zote 19 zilizopo katika Halmashauri ya Wilaya ya Manyoni kushirikiana kikamilifu katika zoezi la utekelezaji wa  anwani za makazi na posti kodi ili kuweza kutatua  changamoto  mbalimbali ambazo zimesababisha zoezi hilo kushindwa  kukamilika  kwa wakati katika baadhi ya maeneo ndani ya kata hizo

Mahenge amewataka pia Wakuu wa Idara wote kuwa miongoni mwa kamati za utekelezaji wa zoezi hilo na kuhakikisha kuwa wanatumia muda wa siku mbili  kuhakikisha vibao vyote vinawekwa na nyumba zote zinabandikwa namba au kuandikwa kwa mkono.

“haiwezekani muda wote mnasubiria stika za kuandika mlangoni ambapo nyumba 42800 zilizowekwa  namba hazifiki hata  nusu  jambo mabalo  kama mngeandika kwa rangi au maka peni  mngekuwa mmeshamaliza naagiza ndani ya siku mbili kuanzia leo kazi hii iwe imekamiliaka Sasa natoa agizo ifikapo ijumaa may 13 /2022 kazi iwe imekamilika la sivyo sitasita kuwasimamisha kazi  watumishi ambao  watakuwa wamepelekea   uzembe huo kujitiokeza  magari yapo mengi niombe Wakuu wa Polisi ,Magereza  na kitengo cha wanyama pori kutoa magari  kwa ajili ya kubebea na kusambaza nguzo hizo katika maeneo husika kwa haraka zaidi kazi hii iishe”aliagiza Mahenge.

Katika Hatua nyingine Mahenge amekemea vikali tabia za baadhi ya watumishi wa umma kutumia vilevi kulikokithiri akioanisha na utendaji kazi usioridhisha wa watumishi mbalimbali.

Katika ziara yake Dkt Mahenge ametembelea baadhi ya mitaa ndani ya halamashauri ya wilaya ya manyoni ambapo amekagua ubandikaji wa stika za namba katika nyumba za wananchi lakini pia ameakgua uwekaji wa nguzo zinzazoainisha majina ya barabara za mitaa.RC Mahenge ahimiza ushirikiano baina ya watumishi na madiwani.docx

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI KWAAJILI YA SHUGHULI ZA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA September 15, 2024
  • TANGAZO LA UUZAJI WA MASHAMBA YA KOROSHO MWAKA 2022/2023 July 04, 2022
  • FOMU YA MAOMBI YA MASHAMBA YA KOROSHO MWAKA 2022/2023 July 04, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 12, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • KARIBUNI MJIPATIE VIWANJA KWA BEI NAFUU

    May 05, 2025
  • "KIKAO CHA PHC CHAFANYIKA"

    April 26, 2025
  • "Jimbo la Manyoni Mashariki kubadilishwa Jina"

    April 26, 2025
  • "UJUZI UTABADILISHA MAISHA YA WATANZANIA"

    March 23, 2025
  • Angalia zote

Video

Ngoma za asili Siku ya UKIMWI Duniani
video zingine

Kurasa za Karibu

  • About Manyoni
  • Completed Projects
  • Ongoing Projects
  • Primary Schools Students Registration (Prem)
  • Instagram

Tovuti Mashuhuri

  • TAMISEMI
  • President's Office, Public Service Management
  • Singida Region
  • Necta
  • MAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIA
  • Kupata Salary Slip

Fuatiliaji ya watembezi wa Kidunia

world map hits counter

Kihesabia Watembezi

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana nasi

    HALMASHAURI YA WILAYA MANYONI

    Sanduku la Posta: S.L.P 60 MANYONI

    Simu: +255 26 2540136

    Namba ya Simu: +255 26 2540136

    Barua Pepe za Watumishi: ded.manyonidc@singida.go.tz, ded@manyonidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera za Siri
    • Malalamiko
    • Maswali ya Mara Kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Haki Ya Kunakiri ©2019 Halmashauri Ya Wilaya Ya Manyoni . Haki Zote Zimehifadhiwa.