• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara Kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Manyoni District Council
Manyoni District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri Ya Wilaya Ya Manyoni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • History
        • Orodha Viongozi
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
      • Mchoro wa Kiutawala
      • Picha Ya Taasisi
    • Idara/Vitengo
      • Utawala & Utumishi
        • Majukumu ya Idara
        • Legal Seatings on Council's level
        • Department Information
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi & Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Utawala wa Mazingira na Usafi
      • Ujenzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio Vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
      • Huduma Zetu
        • Afya
        • Elimu
        • Maji
        • Kilimo
        • Mifugo
        • Uvuvi
    • Kilimo cha Korosho
    • Msimu wa mashamba ya Korosho 2019/2020
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba Ya Picha
    • Matokeo ya Kidato cha Pili 2018

mil.300 kujenga jengo la dharula

Imewekwa Mtandaoni mnamo: March 16th, 2022

Tsh mil .300 kujenga jengo la wagonjwa wa dharula manyoni.docxKamati ya Siasa ya Chama cha Mapinduzi CCM Mkoa wa Singida  imefanya ziara na kukagua miradi ya maendeleo iliyotekelezwa na Halmashauri ya Wilaya ya Manyoni na pia kuweza kuona utekelezaji wa ilani ya chama cha mapinduzi.

Ziara hiyo imefanyika  march 16 /2022  siliweza kutembelea na kukagua miradi mitano na kikundi kimoja cha walemevu kilichopatiwa mkopo kutoka halmashauri

Miradi iliyotembelewa ni pamoja na ujenzi wa jengo la dharula katika Hospitali ya Wilaya ya Manyoni  ambalo limepatiwa fedha kutoka  mpango wa maendeleo na ustawi wa jamii (uviko 19) tsh300 mil ambapo utekelezaji unaendelea na mpaka sasa liko hatua ya msingi,ujenzi wa Barabara kutoka makutano ya hospital hadi majengo  inayojengwa kwa kiwango cha lami na kwa gharama ya tsh million 495 ikiwa ni fedha kutoka mfuko wa jimbo , madarasa yaliyopata fedha za uviko 19 ambayo ni mazuchii shikizi na heka sekondari,mradi mwingine ni ujenzi wa nyumba ya watumishi katika kituo cha afya nkonko ambapo hatua zilizopo ni kutandika jamvi na kujaza mawe na pia kamati iliweza kukutana kikundi cha walemavu waliopatiwa mkopo na Halmashauri ambapo wameweza kununua mbuzi 25.

Mwenyekiti wa kamati hiyo ya Juma Kilimba akifanya majumuisho ya ziara hiyo amesema kuwa utekelezaji wa ilani ya chama cha mapinduzi pamoja na matumizi ya fedha    wameweza kujiridhisha  na kwamba wameipongeza halmashauri kwa usimamizi na utekekezaji japo kumekuwa na mapungufu machache na kwamba amemwagiza Mkurugenzi kwa kushirikiana na ofisi ya mipango kuhakikisha mapungufu hayo yanapatiwa ufumbuzi kwa haraka na kwa wakati.

Kuhusu utunzaji na kujali fedha kilimba amesema kuwa ni vyema kukawa na utaratibu wa matumizi yanayoendana kulingana na fedha zilivyoletwa na maelekezo ya utekelezaji wa mradi husika na pia kilimba alisisitiza kuhakikisha wakandarasi wanaendana namuda husika kulingana na mkataba unavowataka  lakini pia kufanya kazi kwa weredi

“mimi niwapongeze sana lakini tu niweze kusema kuwa tujitahidi kuwa na usimamizi utunzaji wa taarifa na takwimu sahihi za ujenzi wa miradi na pia tuhakikishe hawa wakandarasi wanaendana na muda kulingana na mikataba yao inavyowataka kifupi niwapongeze sana na niseme kamati kupitia chama cha mapinduzi imeridhishwa na utekelezaji huu wa ilani”alikaririwa Kilimba.

Kwa upande wake Mkuu wa Mkoa wa Singida Dkt Benilith Mahenge almuagiza mkurugenzi wa halmashauri kuhakikisha kuwa kabla ya kuwasilisha taarifa basi ziwe zinafanyiwa uhakiki ili kuweza kuepukana na kuleta mkanganyiko

Awali akitoa taarifa ya utekelezaji wa miradi ambayo ilipangwa kutembelewa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Manyoni Melkizedeck Humbe alisema kuwa Halmashauri imepokea tsh million 300 kwa ajili ya ujenzi wa jengo la dharula la wagonjwa katika hospitali ya wilaya na kwamba tayari zoezi la ujenzi limeanza.

“aidha Halmashauri imepokea tsh milioni500 fedha za tozo ambazo zinatekeleza ujenzi wa Barbara  na tayari mkandarasi yuko kazini na kazi inaendelea lakini pia tumepata tsh million 90 kwa ajili ya ujenzi wa nyumba ya watumishi wa afya katika kituo cha afya Nkonko”alisema Humbe.

Naye Mwenyekiti wa Halmashauri Jumanne Mlagaza aliiomba Serikali kwa kushirikiana na Chama cha Mapinduzi kuona haja ya kujenga Hosptali kubwa naye kisasa kwani Mlagaza alisema eneo hilo ni dogo lakini pia Hospitali hiyo hairizishi na kwamba imekuwa ni vigumu kufanya Upanuzi .

“Mimi niombe sana Serikali kuiangalia hii Hospital kwa sasa Manyoni imekuwa lakini pia kama ambavyo Mwenyekiti amesema Manyoni ni lango hivyo tunapaswa tuwe na vitu au majengo yaliyobora lakini kwa eneo hili la Hospital ni dogo sana tunashindwa kufanya upanuzi hivyo naomba mliangalie hili sana”alisema Mlagaza.

Mlagaza aliiomba Serikali kuona haja ya kutenga fedha kwa ajili ya ujenzi wa Hospitali mpya kwani  iliyopo kwa sasa mwanzoni kilikuwa ni kituo cha afya ikapandishwa hadhi tu ya kuwa Hospitali ya Wilaya hivyo aliiomba Serikali kuliona hilo .

Akiwasilisha taarifa kuhusu mradi wa ujenzi wa Barabara Meneja wa Tarula Wilaya ya Manyoni  Mhandisi Stephen Nyanda,amesema kuwa hatua ya mradi kwa sasa ni  18% ya utekelezaji  na Mkandarasi anategemea kukabidhi mradi june 18 /2022 ukiwa umekamilika kwa kiwango cha lami na taa za barabarani.

Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI YA NAFASI YA UTENDAJI WA KIJIJI MANYONI DC May 25, 2022
  • JINSI YA KUPATA SHAMBA LA KOROSHO MSIMU WA 2019/2020 May 13, 2019
  • TANGAZO LA UUZAJI WA VIWAJA October 28, 2021
  • Fomu ya Maombi ya kupimiwa mashamba ya Korosho April 18, 2020
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • RC MAHENGE ASISITIZA USHIRIKIANO

    May 11, 2022
  • MANYONI SASA KUUZA KOROSHO KWA NJIA YA MNADA

    April 05, 2022
  • mil.300 kujenga jengo la dharula

    March 16, 2022
  • SIKU YA WANAWAKE DUNIANI

    March 10, 2022
  • Angalia zote

Video

Ngoma za asili Siku ya UKIMWI Duniani
video zingine

Kurasa za Karibu

  • About Manyoni
  • Completed Projects
  • Ongoing Projects
  • Primary Schools Students Registration (Prem)
  • Instagram

Tovuti Mashuhuri

  • TAMISEMI
  • President's Office, Public Service Management
  • Singida Region
  • Necta
  • MAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIA
  • Kupata Salary Slip

Fuatiliaji ya watembezi wa Kidunia

world map hits counter

Kihesabia Watembezi

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Manyoni

    Sanduku la Posta: S.L.P 60, Manyoni

    Simu: +255 26 2540136

    Namba ya Simu: +255 712 028027

    Barua Pepe za Watumishi: ded.manyonidc@singida.go.tz, ded@manyonidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera za Siri
    • Malalamiko
    • Maswali ya Mara Kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Haki Ya Kunakiri ©2019 Halmashauri Ya Wilaya Ya Manyoni . Haki Zote Zimehifadhiwa.